Saturday, July 4, 2015

KIKAO CHA KWANZA CHA VIONGOZI WA MWAKA 2015/2016....Bonyeza hapa kujua malengo yao katika utendaji...

baadhi ya wanachama wa TAPSA-RUCU



Leo tarehe 4/6/2015 ilikuwa ni siku iliyo andaliwa na viongozi wapya wa TAPSA-RUCU kuonana na wanachama wao ili kujua nimipango gani wameiandaa ilikuhakikisha kila mmoja anafaidika na umoja huo.
Viongozi walio chaguliwa wa mwaka 2015/2016 ni kama ifuatavyo.
  • M/KITI : Samwel Mussa DPS II.
  • MAKAMU/KITI: Ruhuha Migisha J DPS II
  • KATIBU: Evalisto Willa DPS I
  • MHASIBU: LULU DPS I
  • KATIBU MWENEZI: Nani Elkanus N

IFUATAYO NI MHUTASARI WA KIKAO KILICHO FANYIKA  SIKU HIYO


RUAHA CATHOLIC UNIVERSITY

TANZANIA PHARMACEUTICAL STUDENTS ASSOCIATION (TAPSA)   RUCU-CHAPTER

KIKAO CHA KWANZA CHA WANACHAMA WOTE WA TAPSA-RUCU, TAREHE 04/07/2015


UTANGULIZI:  

  •   KUANZA KWA SALA: MJUMBE
tulianza kwa sala na mjumbe mmoja Eunice Mbise kutoka DPS III. 
  • KUFUNGUA KIKAO: M/KITI
Baada ya sala Mwenyekiti wa TAPSA mheshimiwa Samwel Musa,alisimama na kufungua kikao.

KUSOMA AGENDA: KATIBU

  •   TATHIMINI YA MAHAFALI YA KUWAAGA MWAKA WA TATU 27.06.2015
Hii ilikuwa ndiyo agenda ya kwanza katika kikao chetu, kwa kuanza Mwenye kiti wa TAPSA alisimama na kutoa shukrani za dhati kwa wote walio shiriki na kufanya sherehe ifanikiwe kwa kiasi kikubwa sana.Alisema " napenda kutoa shukrani zangu za dhati kwa wanafunzi wa famasi kwa kujitolea na kuhakikisha sherehe yetu iliyo fanyika mnamo tarehe 27/6/2015 kufanikiwa kwa kiasi kikubwa na pia ninawashukuru waalimu wetu kwa kututhamini na kuhudhuria katika sherehe hiyo.Napenda kuwa shukuru tena na tena,kwa hakika kwa pamoja tunajenga TAPSA yetu"
Baada ya hapo alichaguliwa muwakilishi wa DPS III aliye kuwa Makamu Mwenyekiti wa TAPSA mheshimiwa Daniel Sichwale wa mwaka 2014/2015,yeye pia alitoa shukrani zake za dhati kwa wote walioshiriki kuhakikisha wanafanyiwa sherehe ambayo hawata isahau.
Kisha taarifa fupi ya fedha ilisomwa na Makamu mwenyekiti wa TAPSA mheshimiwa Ruhuha Migisha J,kutokana na kutokuwepo kwa Mhasibu wetu siku hiyo.
Mwisho wa agenda hii wajumbe walitoa maoni yao na kutoa ushauri wapi paboreshwe na makosa yapi yasirudiwe tena.
Miongoni mwa maoni ilikuwa ni:

  1. kuzingatia fundraising katika sherehe ili kujipatia kipato cha kutosha.
  2. kuandaa risala itakayoweza kumfanya mgeni rasmi achangie katika mfuko wa chama.
  3. kuwa na ratiba nzuri itakayo mfanya kila mmoja afaidi sherehe
  4. kuhakikisha wakati wa sherehe wafamasia hawapotezi identity yao.


  • STANDING COMITTEES:
Agenda iliyo fuata ilikuwa ni kuchagua standing commitees.
Standing committees zinafanya kazi kulingana na katiba, lengo ikiwa ni kurahisisha utendaji kazi katika kuboresha TAPSA.
Katibu wa TAPSA mheshimiwa Evalisto Willa alisoma majina ya watu walio chaguliwa katika kila Commitee kama ifuatavyo.


  • STANDING COMMITTEE ON LEGAL AFFAIRS
MEMBERS:

  • BABU WADEYA PATRICK (DPS 1)- COUNCILOR
  • ELIAKIM MBALA (DPS 1)- MJUMBE

  • STANDING COMITTE ON ACADEMICS
MEMBERS:    
  • BAHATI MESHACK (DPS 2)- COUNCILOR
  •   NOEL GODSON (DPS 1)- VICE COUNCILO
  •  MARINA SAPALI (DPS 2)- MJUMBE 
  • BENITHO  KYANDO ( DPS 1)- MJUMBE



  • STANDING COMMITTEE ON PHARMACEUTICAL PROMOTION

MEMBERS:
  • JACKRINE MSANZI (DPS 2)- COUNCILLOR 
  • EDGAR DEUCE LEONIDAS (DPS 1)- VICE COUNCILOR 
  • MANOTA JOSEPH (DPS 1)- MJUMBE
  • STANDING COMMITTEE ON INFORMATION AND PUBLICATION

MEMBERS:
  • IMANI HENRY (DPS 2)- COUNCILOR
  • HASSAN MSUYA (DPS 1)- VICE COUNCILOR 
  • ALFRENA KOMBA ( DPS 1)- MJUMBE 

  • STANDING COMMITTEE ON SPORTS AND SOCIAL AFFAIRS
MEMBERS:
  • SOSTENES SICHALWE (DPS 2)- COUNCILOR
  • GOSBERT CHOGA (DPS 1)- VICE COUNCILOR 
  • JACKRINE MAGIGE ( DPS 2)- MJUMBE 
  • NEEMA HENRY ( DPS 1)- MJUMBE 
  • STANDING COMMITTEE ON PUBLIC HEALTH AND ENVIRONMENTAL ISSUES

MEMBERS:
  • CHRISTIAN MBWILO ( DPS 2)- COUNCILOR 
  • JOHN ANDRONIDAS ( DPS 1)- VICE COUNCILOR 
  • MARY MALUMBO ( DPS 1)- MJUMBE
  • STANDING COMMITTEE ON ECONOMIC STABILITY
MEMBERS:
  • SIXBERT WILBROAD (DPS 2)- COUNCILOR
  • JOHN RUPIA (DPS 1)- VICE COUNCILOR
  • LORNA  MDEWA  (DPS 2)- MJUMBE 
  • YVONE MWINUKA (DPS 1)- MJUMBE

  •         MIRADI YA CHAMA 
Agenda ya tatu ilikuwa ni kuongelea kuhusu miradi mbalimbali ambayo inaweza kutusaidia kuweza kupata hela kwa ajili ya mfuko wetu.
    Miradi hiyo ilikuwa kama ifuatavyo:
  •     UUZAJI WA T-SHIRT ZA KUVUTIA ZENYE KIWANGO KINACHOWEZA KUTOLEWA NA KILA MWANA CHAMA
  •     UTENGENEZAJI KALENDA NA KUZIUZA KWA WANACHAMA NA WATU WENGINE KAMA VILE WAFANYAKAZI NA WANAFUNZI WENGINE.
  •     KUUZA  MORTAL AND PESTLE KWA DPS I
  •     KUTENGENEZA JARIDA LA TAPSA

    
  • ZIARA YA MAJIFUNZO: 
Agenda iliyofuata ilikuwa kuongelea ziara za kujifunza na zifuatazo ni ziara zilizo pendekezwa.

 MUDA: NI KATI YA MWEZI WA 9-12 AU JAN 2016
GHARAMA: ZITAFUATILIWA
  1. KIWANDANI ( NDANI na NJE YA IRINGA)
  2.  MSD ( IRINGA) 
  3. MASHAMBANI ( TANGA)
  • BONANZA-KATIBU
Mwisho tuliongelea bonanza..
Hii itafanyika mara tu baada ya kutoka likizo.

LENGO:  
  • KUWAKARIBISHA MWAKA WA KWANZA 2015/16 
  • KUPATA PESA KWA AJILI YA ZIARA YA MAJIFUNZO-KIWANDANI.

HOW?  KUPITIA WADHAMINI/ WAFADHILI WATAKAO KUWA TAYARI.



MENGINEYO: 
Ilikuwa ni:
  KUKUMBUSHANA UMUHIMU WA KULIPA ADA YA UANACHAMA (UONGOZI-M/KITI)
pia wajumbe walishauri:
  1.     kuwepo na matembezi ya kutembelea sehemu mbalimbali kama mbuga za wanyama kwa ajili ya kuburudika.
  2.     kuomba chuo kufanya shule ya Afya kutambulika katika jamii.

NB: KIKAO KITAKACHO FUATA KITAFANYIKA MUHULA WA KWANZA WA     MASOMO 2015/16.
HITIMISHO
Mwisho wa kikao mwenyekiti aliitimisha kwa maneno machache kisha tulipata sala kutoka kwa katibu wa chama.



Makamu mwenyekiti kushoto na katibu wa TAPSA kulia


COUNCILOR FOR STANDING COMMITEE ON SPORT AND SOCIAL AFFAIRS HON.PHARM SOSTENES SICHWALE





No comments:

Post a Comment